Tuesday, 7 October 2014

NAPE: JIMBO LA IRINGA MJINI MPANGAJI WAKE KODI YAKE IMEKWISHA

Kamanda wa UVCCM mkoa  wa Iringa Bw  Salim Asas  akisalimiana na katibu wa itikadi na uenezi Taifa  Nape Nnauye  leo 
Vijana  wa CCM  wakijiandaa kumvisha skafu katibu mkuu wa CCM taifa Bw Kinana  leo baada ya  kuwasili  Iringa kwa ziara ya  siku 6 
Kinana  akivishwa  skafu  
Mbunge wa  jimbo la Isimani  Wiliam Lukuvi ambae ni waziri wa nchi ofisi ya  waziri mkuu  sera na uratibu wa bunge  kulia akisalimiana na katibu mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana lea  baada ya  kuanza  ziara yake  wilaya ya Iringa 
Mbunge wa  jimbo la Kilolo na Prof Peter Msolla  kulia akisalimiana na Kinana 
Kinana  akisalimiana na viongozi wa CCM wilaya ya Iringa 
Kamanda wa UVCCM mkoa  wa Iringa Bw  Salim Asas  akisalimiana na katibu wa itikadi na uenezi Taifa  Nape Nnauye  jana.

KINANA AKUNWA NA UTENDAJI KAZI WA MBUNGE WA KALENGA

Katibu  mkuu  wa CCM Bw kinana  kushoto  akishiriki kuvua  samaki  Kalenga na  mwenyekiti wa CCM mkoa  wa Iringa Jesca Msambatavangu 

 Kinana  akitazama  bwawa la  samaki na kuvua  samaki
Chifu  wa  wahehe   wa pili  kulia  akiwa na wasaidizi  wake  huku  kiti cha kinana  kikiwa  tupu 

WAZUIA MAZISHI YA BIBI YAO



Stori: Victor Bariety, Sengerema
WAJUKUU wa marehemu Sabina Ngalu (77) wameibua kutuko makaburini kufuatia kuzama ndani ya kaburi la marehemu huyo na kugoma kutoka wakidai kwamba mpaka walipwe shilingi laki moja (100,000), Uwazi lina mkanda mzima.

Wajukuu wa bibi huyo wakiwa kaburini.
Tukio hilo la aina yake lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita katika Kitongoji cha Nyamwanza Kata ya Sima wilayani Sengerema mkoani Mwanza muda mfupi baada ya mwili wa marehemu kuwasili eneo la mazishi kwenye shamba lake ukitokea Kanisa la Roman Katoliki Parokia ya Yesu Kristo Mfalme la mjini Sengerema.
Sababu za wajukuu hao kung’ang’ania ndani ya kaburi hilo walitaka wapewe ng’ombe mmoja au pesa hizo taslimu kwa mjibu wa mila na desturi za kabila la Kisukuma jambo ambalo lilipingwa na baadhi ya wanandugu waliodai mila hizo zilipitwa na wakati.
Kufuatia wajukuu hao kuendelea kugomea ndani ya kaburi, kaka wa marehemu, Enosi Ngalu alikwenda  kukata fimbo na kuwashukia kisha kuwacharaza viboko wote huku nao wakisisitiza hawatoki mpamka ‘kieleweke’.

MAGAZETI LEO JUMANNE

1_62b43.jpg
2_ce022.jpg
6_626eb.jpg
9_c18ae.jpg
10_6db84.jpg
11_3f2b4.jpg

MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI AUAWA KISHA KUPORWA PIKIPIKI



Kamanda wa Polisi mkoani Iringa (RPC),Ramadhani Mungi

Na Friday Simbaya, Iringa
 Mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Lugalo ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali kichwani na watu wasiofahamika kisha kupora pikipiki yake ambayo haijafahamika namba za usajili.

Monday, 6 October 2014

ITUNUNDU FC MABINGWA WA KOMBE LA SPANEST



Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Dk Leticia Warioba akimkabidhi kombe la ushindi wa ligi ya SPANEST, kapteni wa Itunundu Fc
Hapa akikabidhi cheti cha ushindi
Akiwavisha Itunundu FC medali za dhahabu

MKURUGENZI WA TFF MVELLA ATUPWA JELA MIAKA SITA











Mvella mwenye suti ya michezo siku moja kabla hajahukumiwa
MAHAKAMA ya Mkoa ya Iringa jana imemtia hatiani  Mkurugenzi wa Sheria na Utawala wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Eliud Mvella baada ya kupatikana na makosa manne ya kuendesha biashara ya bima bila kibali.

Kweli kizungu ni kigumu wandugu!

NHC IMEZITAKA HALMASHAURI ZA MIJI ZITOE ARDHI KWA GHARAMA NAFUU




http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2011/08/Katanga-8.png


 http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2011/08/Katanga2.png
 Baadhi ya makazi duni eneo la Katanga nchini Uganda. (PICHA KWA MSAADA WA MTANDAO)


Na Friday Simbaya, Iringa
Ikiwa ni katika  kuaadhimisha siku ya makazi duniani Shirika la nyumba la taifa (NHC) katika juhudi ya kuunga mkono serikali ili kuondokana na makazi duni nchini lina mpango wa kujenga jumla ya nyumba 15,000 mpaka kufikia mwaka 2014/15.

Magazeti Leo Jumatatu

WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...

Na Friday Simbaya, Mufindi  Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...