Monday, 12 January 2015

MKOA WA IRINGA WAADHIMISHA KUMBUKUMBU YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KWA KUPANDA MITI


Mkoa wa Iringa wameamua kuadhimisha Kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kwa shughuli ya upandaji Miti.

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza alisema hayo leo kuwa watu wanatakiwa kutambua umuhimu wa miti katika maisha yao.

Sunday, 11 January 2015

Msambatavangu: Vijana msikubali kutumika kisiasa...!

Afisa Kilimo waManispaa ya Iringa, Robert Semaganga akionyesha mfano ya namna ya kuchimba mashimo ya kupanda mbegu za alizeti katika shamba la vijana lililopo kijiji cha Kising'a wilayani Iringa jana.

Mpishi akipika chakula kwa ajili ya vijana waliokwenda kupnada mbegu za alizeti katika shamba la vijana lililopokijiji cha Kising'a wilayani Iringa jana.

Vijana wakishuka kwenye gari baada ya kufika shambani kwa ajili ya kupanda alizeti katika shamba la vijana lililopo kijiji cha Kising'a wilayani Iringa jana. 


Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu akishiriki kupanda alizeti katika shamba la vijana lililopo kijiji cha Kising'a wilayani Iringa jana. 



Mpishi akimuandaa ndege aina kwale aliyenaswa kwenye mtego katika shamba la utafiti la uyole ambapo vijana zaidi ya 100 kutoka zote za manispaa ya iringa walishiriki kupanda alizeti katika shamba la vijana lililopo kijiji cha Kising'a wilayani Iringa jana. 



Vijana wakifungua mfuko wa mbegu za alizeti kwa ajili ya kupanda.

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu akipata maelezo kutoka kwa msimamizi wa shamba la utafiti la uyole kabla ya kushiriki kupanda alizeti katika shamba la vijana lililopo kijiji cha Kising'a wilayani Iringa jana.  

MAGAZTI LEO JUMAPILI

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

Saturday, 10 January 2015

WANAUME ZAIDI LAKI MOJA NA TISINI KUTAHIRIWA MKOANI IRINGA


Mkoa wa Iringa una lengo la kutahiri wanaume 191,999 mwaka huu  na hadi kufikia Septemba mwaka jana jumla ya wanaume 147,620 sawa na asilimia 76.9 wenye umri kati ya miaka 15 hadi 49 wametahiriwa.

Thursday, 8 January 2015

BREAKING NEWS....AJALI YA BASI NA LORI IRINGA YAUA ZAIDI YA WANNE LEO

 Basi  la kampuni ya Enuel lenye namba  za usajili T 919 DCD kulia  likiwa limegongana na lori usajili  T 122 ALW mali ya Trasisco ya  mkoani Arusha
WATU  wanne  wamefariki  dunia  papo  hapo na  wengine  zaidi  ya 20  kujeruhiwa  vibaya   baada ya  basi  la kampuni ya Enuel  Express kugongana  na  lori  eneo la   kijiji  cha Idetero wilaya ya  Mufindi mkoani  Iringa .

MSONGAMANO WA MAGARI MJINI IRINGA...!

Msongamano wa magari leo maeneo ya posta mjini Iringa kutoka na ujenzi wa barabara ya Iringa-Dodoma unaoendelea na kampuni ya kichina.


Fundi wa gereji katika kituo c cha mafuta cha TFA cha mjini Iringa, Mzee Haruna (wa pili kulia) akipata kikombe cha chai asubuhi kwa mama muuza chai karibu na kituo hicho  leo, ambapo kikombe kimoja cha chai uuzwa shilingi mia mbili tu.

MAFUTA YA SHUKA MKOANI IRINGA



The directives of reducing fuel prices in the country issued by Energy and Water Utilities Regulatory Authority (Ewura) recently have started materializing in Iringa.

MWANDISHI WA HABARI ATANGAZA KUMVAA KAYOMBO MBUNGE WA MBINGA MASHARIKI

Humphrey Kisika

KWA vyovyote iwavyo, mapigo ya moyo ya Mbunge wa Jimbo la Mbinga Mshariki mkoani Ruvuma, Gaudance Kayombo yataongezeka mara dufu baada ya kijana msomi; Afisa Habari wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Humphrey Kisika (32) kutangaza nia ya kuwania ubunge wa jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...

Na Friday Simbaya, Mufindi  Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...